Mwanamke aitwae Karolina amejifungu bila kujua kama alikua mjamzito
Mwanamke aitwae Karolina (25) pichani na mumewe na mtoto wao,
ambae alikuwa hajui kama ni mjamzito amejifungua Mtoto dakika 20 tu baada ya kupelekwa hospitali na Mume wake akilalamika kusikia maumivu mgongoni, inaelezwa Karolina pamoja na Mume wake wote walikuwa hawajui kama ana ujauzito.#MillardAyoUPDATES
ambae alikuwa hajui kama ni mjamzito amejifungua Mtoto dakika 20 tu baada ya kupelekwa hospitali na Mume wake akilalamika kusikia maumivu mgongoni, inaelezwa Karolina pamoja na Mume wake wote walikuwa hawajui kama ana ujauzito.#MillardAyoUPDATES


Maoni
Chapisha Maoni