Karibu katika ukurasa wa Mvvu yaani vituko vya ulimwengu. utakua ukipata habari na matukio yanayotokea na yaliyotokea Ulimwenguni ambayo siyo ya kawaida na ya kustaajabisha.
Ukurasa huu unamilikiwa na Mwagilloh Youth Development Group
Kila Tarehe 30 March mamilioni nchini Japan husherekea siku ya UUME, lengo ni kuonyesha umuhimu wa Uume katika Jamii na mapambano dhidi ya magonjwa ya zinaa, Sherehe hizo zinaitwa "Kanamara Matsur"
Wataalamu waeleza athari za kula chakula katika sinia moja.7 Mei 2019 Sambaza habari hii Facebook Sambaza habari hii Messenger Sambaza habari hii Twitter Sambaza habari Zama za mababu na bibi zetu barani Afrika lilikuwa si jambo geni kwa jamii kula chakula katika sahani moja , mfano ugali ukiisha iva, unabwagwa katika sinia moja, bakuli ya mboga ni moja na tena huwekwa katikati ya ugali huo na familia kulizunguka sinia hilo na kila mmoja kula kwa pamoja. Mlo wa pamoja namna hiyo awali ulitafsiriwa kama njia ya kudumisha umoja, mshikamano na upendo lakini pia kama njia ya kumfundisha mtoto ama hata kumrekebisha mkubwa namna anavyo chota tonge, anavyotafuta ili asije akaiaibisha familia mbele za watu , ingawa kadri mabadiliko ya dunia tunamoishi utamaduni huu unadumishwa na wachache . kama hiyo haitoshi,, ikumbukwe kwamba katika baadhi ya familia hasa katika maeneo ya vijijini bakuli ya kunawia mikono kabla ya kula ilikuwa ni moja tu, na kil...
Nilikutana na Binti mmoja ambae alikua mwalimu,tukapendana na kuahidiana kuoana. Basi kwakua yeye alikua akifundisha kijijini na mimi nilikua naishi Dar es Salaam,niliamua kwanza kumuhamisha kutoka huko kijijini kumleta hapa mjini. Nilijibana na visenti vyangu nikaanza harakati za kumuhamisha. Alipokea kwa furaha sana swala la yeye kuhamia hapa Dar es salaam.mipango ikakamilika akaja Dar es salaam na kuanza majukumu yake ya kujenga taifa la baadae ( Kufundisha) ajabu ni kwamba binti huyu mwalimu pamoja na elimu yake lakini elimu haikumuinua ila vilikua vyeti tu vya kumpatia kipato lakini sio kumpa maarifa ya maisha.Alibadilika ghafla na kulimbuka na jiji kwa kuparamia vijana waliomrubuni kwa tamaa. Pamoja ya kua nilimpangia nyumba lakini siku moja nikitoka safari hasa ukizingatia kazi zangu ilikua ni kusafiri nje ya Dar es salaam,siku moja niliporudi nilikwenda anapoishi na kumkuta akiwa sebuleni amelewa chakari na kijana mmoja ,mbaya zaidi walifanyia hapo huo uch...
SERIKALI YA KENYA YAMKAMATA YESU. Serikali nchini Kenya imemkamata Mchungaji mmoja ambaye alimualika huyo mzungu na kuwadanganya waumini wake kuwa ni Yesu amerudi duniani kama ilivyoandikwa. Yesu huyu bandia amekuwa akikusanya sadaka za waumini akiwadanganya kuwafanyia miujiza na kwamba waumini waendelee kumpa hela nyingi ili aende mbinguni kuwaandalia makao yao ikiwa pamoja na kununua Sementi, Matofali na Mabati.
Maoni
Chapisha Maoni